Barabara kuu ya Nairobi - Nakuru nchini Kenya imeripotiwa kuwa ni moja ya barabara inayotishia uhai wa abiria kutoka na ajali nyingi za mara kwa mara zinazotokea katika barabara hiyo.
Uchunguzi huo umeonyesha kuwa, barabara hiyo inaongoza kwa ajali nyingi ambazo pia zimekuwa zikisababisha vifo na majeruhi wengi kila mara.
Chanzo kikubwa za ajali hizo ni mwendo kasi na uzembe wa madereva. Jumamosi iliyopita ilitokea ajali nyingine katika barabara hiyo na kuua watu sita na kujeruhi wengine
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni
(
Atom
)
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni