Rais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania, Jakaya Mrisho
Kikwete akiwa viongozi wengine wakuu wa serikali chama cha Mapinduzi CCM,
akiwemo Katibu Mkuu wa CCM Taifa, Abdulrahman Kinana (kushoto) katika hafla ya
kumuaga aliyekuwa Waziri mkuu wa Tanzania mara mbili katika awamu mbili
tofauti, Mzee Cleopa David Msuya (wa kwanza kulia kwa Rais) ambaye amestaafu
rasmi siasa baada ya kuitumikia kwa zaidi ya miaka 33
Katibu
wa CCM, wilaya ya Mwanga, akisoma historia fupi ya Mzee Msuya kabla na baada ya
kujiunga na siasa.
Mjumbe wa Halmashauri kuu wa CCM wilaya ya Mwanga, Joseph
Thadayo akitoa salamu za marafiki na wasomi waishio nje ya Mwanga, ikiwemo
salamu za Mwanasiasa maarufu na mdhamini wa CCM, Mzee Peter Kisumo ambaye
aliwahi kufanya kazi pamoja na mzee Msuya katika Siasa
Rais Kikwete akizungumza
na wananchi katika hafla ya kumuaga Mzee Msuya katika ulingo wa siasa, uliofanyika
leo katika ofisi za CCM wilaya ya Mwanga.
Kwa hisani ya Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii Kanda ya Kaskazini.
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni