Mchezaji mpya wa Real Madrid, James
Rodriguez amefunga goli lake la kwanza akiwa na timu yake hiyo mpya
katika mchezo ulioishia kwa sare ya mbao 1-1 dhidi ya Atletico Madrid
baada ya Raul Garcia kusawazisha dakika za mwisho.
Katika mchezo huo wa Super Cup, aliyekuwa mchezaji wa Monaco Rodriguez ambaye alitwaa kiatu cha
dhahabu katika michuano ya kombe la Dunia aliifungia Real Madrid bao
katika dakaki ya 80.
Ronaldo akisikilizia maumivu
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni