Mvua kubwa zimeathiri operesheni ya
uokoaji huko Hiroshima nchini Japan ambapo maporomoko makubwa ya
ardhi yameuwa watu 39.
Idadi ya watu wasiojulikana walipo
imeongezeka hadi kufikia 51, ambapo maafisa polisi wamethibitisha.
Karibu waokoaji 3,000 wapo katika
eneo hilo lililopata janga lakini mvua iliyonyesha jana usiku
ilisitisha utafutaji. Mvua hizo zimesababisha kuhamishwa watu
100,000.
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni