Babu mmoja amemuua kwa kumpiga
risasi mjukuu wake wa kike pamoja na watoto wake sita na baadae
kujiua huko Bell Jijini Florida nchini Marekani.
Mkuu wa Kituo Cha Polisi cha Kaunti
ya Gilchrist, Robert Schultz amesema watoto hao wenye ni umri kati ya
miaka mitatu hadi 10.
Mamlaka za Marekani zimemtambulisha
babu huyo kwa jina la Don Charles Spirit mwenye umri wa miaka 51.
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni