Mchezaji nyota wa Real Madrid
Cristiano Ronaldo amepongeza uhamisho wa mkopo wa mshambuliaji
Radamel Falcao, kwenda Manchester United kwa kusema kuwa ni biashara
nzuri kwa kocha Louis van Gaal.
Mshambuliaji huyo ataigharimu
Manchester United paundi milioni 12, na anaungana na Angel di Maria,
Daley Blind, Luke Shaw, Ander Herrera pamoja na Marcos Rojo na
kufanya jumla ya gharama za manunuzi yao kufikia paundi milioni 150.
Radamel Falcao akikabidhiwa uzi wa Man U na Ryan Giggs
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni