Pacquiao kushoto akimdunda mtu
Baada ya mashabiki wa ngumi kungojea
kwa muongo mmoja pambano baina ya Floyd Mayweather na Manny Pacquiao
sasa imeelezwa kuwa mabondia hao watazidunda mara mbili ndani ya
mwaka mmoja.
Bob Arum wa PacMan’s promota,
amesema anaimani kuwa mabondia hao wakubwa kwa sasa duniani
watakutana katika mapambano hayo yatakayofanyika mnamo mwaka 2015.
Mabondia Floyd Mayweather na Man
Pacquiao wamekuwa wakikwepa kupigana kwa kipindi cha miaka mitano.
Mayweather kushota akimpachika konde la shavu mtu
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni