Kocha Jose Mourinho amesisitiza
uhusiano wake na Cristiano Ronaldo haupo tangu aache kuinoa Real
Madrid na kurejea Chelsea mnamo mwaka 2013.
Kocha huyo amesema kuwa yeye na
Ronaldo kwa sasa hawawezi kukaa pamoja na kuongeza kuwa anamtakia
kila la heri mchezaji huyo aliyemuita 'mashine ya magoli'.
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni