Kocha Jose Mourinho amethibitisha
kuwa mchezaji Eden Hazard anakaribia kutia saini mkataba mpya wa
kuendelea kuichezea timu ya Chelsea.
Vyombo vya habari vya Uingereza
vilibainisha kuwa mchezaji huyo raia wa Ubelgiji anatarajiwa kupatiwa
mkataba wa malipo ya paundi 200,000 kwa wiki.
Eden Hazard wa kwanza kushoto akifurahia mazoezi akiwa na wenzake
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni