.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Ijumaa, 19 Septemba 2014

MTOTO AVUNJA PROTOKO YA JESHI NA KUMKIMBILIA MAMA YAKE MWANAJESHI AKIWA KWENYE PAREDI

Hali ya hisia kali ilikumba hadhira iliyokwenda kuwapokea wanajeshi wa Marekani waliotoka Afghanistan baada ya kutumikia jeshi wakiwa huko kwa miezi tisa kabla ya kuungana na familia zao.

Wakati wanajeshi hao wakipokea amri ya jeshi kabla ya kuruhusiwa kukutana na familia zao mtoto wa miaka mitatu Cooper Waldvogel uvumilivu ulimshinda na kukatiza kumkimbilia.

Bila ya kujali protokali mtoto huyo aliwaponyoka watu waliokuwepo na kukimbilia moja kwa moja mikononi mwa mama yake na kumkubatia kwa hisia kali.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni