Polisi sita wa Misri wameuwawa
katika tukio la bomu lililotegwa barabarani katika eneo la Sinai.
Waziri wa Mambo ya Ndani wa Misri
amesema maafisa wengine wawili pia wamejeruhiwa katika ajali hiyo.
Kundi hilo la polisi lilikuwa
likisafiri katika msafara wa magari ya polisi kaskazini mwa Sinai.
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni