Timu hizo hata hivyo zilijikuta zikienda mapumziko bila ya kufungana.
Kipindi cha pili kilianza kwa kasi na Manchester United kujipatia bao la kwanza katika dakika ya 56 baada ya beki wa wa Arsena Gibbs kujifunga akiwa katika harakati za kuondoa hatari langoni mwake.
Bao la pili nala usnidi la Man United lilifungwa na Wayne Rooney katika dakika ya 85. Bao la kufutia machozi la Arsenal lilifungwa katika dakika za lala salama na Giroud.
Matokeo ya mechi nyingine zilizochezwa jana:-
Everton 2 vs 1 West Ham
Leicester 0 vs 0 Sunderland
Newcastle 1 vs 0 QPR
Stoke 1 vs 2 Burnley
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni