Naibu Waziri wa Sheria na Mambo ya
Katiba, Angellah Kairuki (kushoto), akimkabidhi cheti Muhitimu
aliyefanya vizuri Shahada ya Kwanza ya Jinsia na Maendeleo,
Nyamambara Simon katika Mahafali ya Tisa ya Chuo cha Kumbukumbu ya
Mwalimu Nyerere yaliyofanyika Dar es Salaam leo. W apili kulia ni
Kaimu Naibu Mkuu wa Chuo, Samwel Lunyelele na Mkuu wa Chuo, Profesa
Shadrack Mwakalila.
Wimbo wa Taifa ukiimbwa- Kutoka
kulia ni Kaimu Naibu Mkuu wa Chuo, Samwel Lunyelele na Mkuu wa Chuo,
Profesa Shadrack Mwakalila, Naibu Waziri wa Sheria na Katiba,
Angellah Kairuki, Makamu Mwenyekiti wa Bodi ya Chuo, Maryam Abdallah
Yusuph na Mjumbe wa Bodi Dk.Terezya Huvisa (MB).
Naibu Waziri wa Sheria na Katiba,
Angellah Kairuku akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya wahitimu
na viongozi wa chuo hicho.
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni