.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 27 Januari 2015

WAPIGANAJI WA KIKURDI WAWATIMUA IS KATIKA MJI WA KOBANE

Vikosi vya Wakurdi vimefanikiwa kuwatimua wapiganaji wa Dola ya Kiislam (IS) katika mji wa Kobane, na kumaliza mapigano yaliyodumu kwa muda wa miezi minne, katika mji wa Syria.

Wapiganaji wa Kikosi cha Kujilinda cha Wakurdi, wamesema wameingia katika eneo la Mashariki la mji wa Kobane, baada ya wapiganaji wa kundi la IS kuzidiwa nguvu na kuondoka.

Mji Kobane unaonekana kuwa ni moja ya mtihani mkubwa wa kimkakati kukabiliana na IS katika nchi ya Syria kwa kutumia mashambulizi ya anga.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni