Magaidi wapatao 12 inaaminika kuwa
wanapanga kufanya shambulio katika bunge la Kenya, vyanzo vya polisi
vimetahadharisha, na kupelekea majengo yote ya serikali kuwekwa
katika hali ya tahadhari.
Taarifa za Kiintelejensia zinaeleza
kuwa miongoni mwa magaidi hao, sita kati yao inawezekana tayari wapo
Jijini Nairobi, na wengine sita hawajajulikana walipo.
Taarifa za uwezekano wa kuwepo
shambulio hilo, zimekuja wakati ubalozi wa Misri Jijini Nairobi
kuviomba vyombo vya dola Kenya kuimarisha ulinzi katika majengo ya
Misri pamoja na Ubalozi.
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni