.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatatu, 24 Agosti 2015

JOSE MOURINHO ASEMA USHINDI WA KWANZA WA JANA CHELSEA UTAWAUMIZA WENGI

Kocha wa Chelsea Jose Mourinho amesema ushindi wa timu yake wa kwanza katika Ligi Kuu ya Uingereza hapo jana utawaudhi wengi kwa kuwa watu hupenda kuona mabingwa wakipoteza mechi.

Katika mchezo huo beki wa Chelsea John Terry alitolewa nje kwa kadi nyekundu hata hivyo walifanikiwa kushinda kwa mabao 3-2 dhidi ya West Brom.

Hata hivyo Pedro alikuwa na mwanzo mzuri baada ya kufunga bao katika mchezo wake wa kwanza tu tangu anunuliwe kutoka Barcelona kwa kitita cha paundi milioni 21.


Hakuna maoni :

Chapisha Maoni