.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 25 Agosti 2015

KANSELA ANGELA MERKEL WA UJERUMANI AKOSOA VIKALI GHASIA

Kansela Angela Merkel wa Ujerumani amekosoa vikali ghasia katika makazi ya waomba hifadhi zilizojeruhi maafisa polisi kadhaa.

Bi. Merkel ameielezea tabia hiyo ya ghasia iliyofanywa na baadhi ya wahamiaji katika mji wa mashariki wa Heidenau ni ya kuchukiza na ya aibu.

Ulinzi umeimarishwa katika kituo kipya cha wahamiaji waomba hifadhi karibu na Dresden baada ya siku mbili za maandamano.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni