.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatatu, 24 Agosti 2015

MOTO MKUBWA UMELIPUKA KWENYE KIWANDA CHA CHUMA NCHINI JAPAN

Moto mkubwa umelipuka kwenye kiwanda cha chuma karibu na uwanja wa ndege wa Haneda kusini mwa Jiji la Tokyo nchini Japan.

Afisa mmoja wa zimamoto amesema moto huo uliokuwa na urefu wa mita 2, umetokea katika kiwanda chuma kinachomilikiwa na kampuni ya Nippon, hakuna taarifa za majeruhi.

Uwanja wa ndege wa Haneda upo Airport kilomita 25km kutoka kati kati ya Jiji la Tokyo na kiwanda hicho cha chuma kipo Kawasaki.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni