.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 25 Agosti 2015

PETR CECH AWANYIMA MABAO CHRISTIAN BENTEKE NA PHILIPPE COUTINHO

Petr Cech ameonyesha kuwa bado ni kiwango licha ya kutemwa na Chelsea, baada ya jana kupangua michomo kutoka kwa Christian Benteke na Philippe Coutinho katika mchezo wao wa Ligi Kuu ya Uingereza.

Katika mchezo huo ulioishia kwa sare tasa ya Arsenal 0-0 Liverpool, Aaron Ramsey alipachika bao wavuni lakini mwamuzi alilikataa katika uamuzi wa utata kwa madai kuwa alikuwa ameotea.
                             Petr Cech akichupa kupangua mpira uliopigwa na Benteke
                    Kipa Mignolet akipangua kwa ngumi mpira kumdhibiti Giroud

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni