.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatatu, 24 Agosti 2015

POLISI WATUMIA MAJI YA KUWASHA NA MABOMU YA MACHOZI KUJARIBU KUZIMA MAANDAMANO LEBANON

Maandamano ya siku ya tatu yanaandaliwa nchini Lebanon ambapo watu wanaoipinga serikali wamekuwa wakipambana na polisi kutokana na kushindwa kuondolewa taka kwenye mitaa.

Waziri Mkuu wa nchi hiyo Tammam Salam ametishia kujiuzulu wakati maelfu ya watu wakiandamana katika Jiji la Beirut siku ya jumapili.

Polisi wamelazimika kutumia maji ya kuwasha pamoja na mabomu ya machozi kuwasambaza watu na makumi ya watu wamejeruhiwa. Lebanon haina rais na bunge lake nalo limekwama.
                                                  Polisi wakipambana na waandamanaji Lebanon
                 Marundo ya takataka ambazo hazijazolewa chini ya barabara ya juu

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni