Shirika
la Afya Dunia (WHO) limesema nchi ya Sierra Leone imemruhusu kutoka
hospitali mgonjwa wake wa mwisho wa Ebola.
Mgonjwa
huyo Adama Sankoh ameruhusiwa kutoka katika kituo cha tiba cha
kaskazini mwa wilaya ya Bombali jana asubuhi.
Nchi
hiyo haijapata maambukizi mapya kwa zaidi ya wiki mbili.

Hakuna maoni :
Chapisha Maoni