.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatatu, 24 Agosti 2015

VIJEMBE VYA UAGIZAJI SUKARI KUTOKA UGANDA VYAMCHEKESHA RAIS KENYATTA

Rais Uhuru Kenyatta amejikuta akicheka mno na huenda akawa amerejea Ikulu mbavu zake zikiwa zimechoka mno kwa kucheka baada ya kupata muda mzuri wakati akiwa katika Chuo Kikuu cha Zetech huko Ruiru.

Mbunge wa jimbo la Maara, Kareke Mbiuki alimchekesha mno rais Kenyatta pale alipoeleza kuwa mama yake alikuwa akiuza unga na sukari ambayo ilikuwa ikiingizwa kutokea Uganda na si Kenya, ikiwa ni kijembe kwa wapinzani wa rais wanaopinga makubaliano ya kuagiza sukari kutoka Uganda.
                   Rais Kenyatta akiangua kicheko huku akikinga uso wake kwa mkono

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni