Kiongozi wa Kanisa Katoliki Dunia, Papa Francis amefanya ibada iliyohudhuriwa na watu wengi katika nchi ya Jamuhuri ya Afrika ya Kati katika jiji la Bangui na kutaka pande zote zinazopigana kuweka silaha zao chini na badala yake wasimamie haki, upendo na amani.
Papa Francis amesema anatarajia uchaguzi wa mwezi ujao utafungua ukurasa mpya wa taifa hilo. Jamuhuri ya Afrika ya Kati imepasuukua kwa machafuko
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni