.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatatu, 30 Mei 2016

KIONGOZI WA ZAMANI WA CHAD HISSENE HABRE AHUKUMIWA KIFUNGO CHA MAISHA

Kiongozi wa zamani wa Chad, Hissene Habre, ametiwa hatiani kwa uhalifu dhidi ya binadamu na amehukumiwa kifungo cha maisha katika kesi ya kihistoria nchini Senegal.

Jaji wa Mahakama wamemtia hatiani kwa ubakaji, utumwa wa ngono na kuagiza muaji wakati wa utawala wake kuanzia mwaka 1982 hadi 1990.

Familia za waathirika wa matendo hayo ya kikatili na mauaji wameshangilia na kukumbatiana mahakamani baada ya hukumu hiyo kutolewa.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni