.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Ijumaa, 24 Machi 2017

BRAZIL YAITUNGUA URUGUAY WAKATI PAULINHO AKIFUNGA HAT-TRICK

Timu ya Brazil imetokea nyuma kufungwa goli moja na kufanikiwa kuibuka na ushindi wa magoli 4-1 dhidi ya Uruguay katika mchezo wa kutinga michuano ya Kombe la Dunia.

Katika mchezo huo Brazil walifungwa goli katika dakika ya tisa tu kufuatia penati iliyopigwa na mchezaji wa PSG Edinson Cavani.

Paulinho aliyefunga magoli matatu 'hat-trck' katika mchezo huo alisawazisha goli na kuongeza mengine kabla ya Neymar kufunga goli la nne.
                                               Edinson Cavani akifunga goli kwa mkwaju wa penati 
                             Neymar akidhibitiwa kati kati ya msitu wa mabeki wa Uruguay

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni