.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Ijumaa, 24 Machi 2017

WAHAMIAJI 200 WAHOFIWA KUFA MAJI KATIKA BAHARI YA MEDITERRANEAN

Shirika la Misaada la Hispania limesema zaidi ya wahamiaji 200 wanahofiwa kufa maji baada ya boti waliyokuwamo kuzama baharini kwenye pwani ya Libya.

Shirika hilo la Proactiva Open Arms limesema limepata miili mitano iliyokuwa ikielea baharini karibu na boti mbili zilizozama ambazo zinauwezo wa kubeba watu 100.

Kundi hilo la Laura Lanuza limesema miili mitano imepatikana katika bahari ya Mediterranean ambayo ni ya vijana wa kiume waliokufa maji.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni