.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumapili, 28 Mei 2017

ARSENAL YATWAA UBINGWA WA FA, HUKU HATMA YA WENGER IKIBAKIA KITENDAWILI

Kocha wa Arsenal, Arsene Wenger amesema hatma yake itakuwa wazi siku ya Alhamis, baada ya kukiongoza kikosi chake kutwaa ubingwa wa FA.

Kocha huyo raia wa Ufaransa amekuwa kocha wa kwanza kushinda kombe la FA mara saba wakati kikosi chake kikiwafunga mabingwa wa Ligi Kuu ya Uingereza Chelsea 2-1.

Wenger mwenye miaka 67 mkataba wake unaisha katika kipindi cha majira ya joto, na kumekuwa na uvumi mkubwa iwapo ataweza kubakia.
                 Wachezaji wa Arsenal wakishangilia ubingwa wa FA kwa kumwaga Champagne
               Mshambuliaji Theo Walcott akikimbia na kombe kushangilia ushindi wa FA 

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni