.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatatu, 29 Mei 2017

LEWIS HAMILTON ANAAMINI FERRARI WAMEMFANYA VETTEL KUWA NAMBA MOJA

Dereva wa mbio za langalanga Lewis Hamilton anashawishika kuwa timu ya Ferrari imemteua dereva Sebastian Vettel kuwa dereva namba moja wao.

Vettel ameshinda mbilo za Monaco Grand Prix, baada ya Ferrari kutumia mbinu ya mapumziko ya ukaguzi, kumshinda dereva mwenzake timu yao Kimi Raikkonen.

Hamilton amenukuliwa akisema “Ni wazi Ferrari wamemchangua dereva wao namba moja na wanahakikisha kuwa Sebastian anapata pointi za kutosha katika mbio”.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni