.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Ijumaa, 26 Mei 2017

MKWE WA RAIS TRUMP KUHOJIWA NA SHIRIKA LA UJASUSI LA FBI

Mkwe wa rais Donald Trump ambaye pia ni mshauri wake mwandamizi, Jared Kushner, atahojiwa na Shirika la Ujasusi la FBI kuhusiana na uchunguzi wa Urusi kuingilia uchaguzi.

Ripoti ya vyombo vya habari vya Marekani zinasema wachunguzi wanaamini Kushner ana taarifa muhimu, lakini si kwamba inamaanisha anachukuliwa kama mtuhumiwa.

FBI wanatafuta kubaini uwezekani wa Urusi kuingilia uchaguzi wa Marekani mwaka 2016 na uhusiano na kambi ya rais Trump.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni