.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Ijumaa, 19 Mei 2017

PENZI LAMFANYA PRINCESS MAKO WA JAPAN KUACHIA HADHI YA KIFALME

Mwanafamilia wa familia ya kifalme ya Japan, Princess Mako, ataachia hadhi ya ufalme, kutokana na kuamua koolewa na mwanaume anayetoka kwenye koo isiyo ya kifalme.

Princess Mako, 25, ambaye ni mjukuu wa Mfalme Akihito ataolewa na mfanyakazi wa kampuni ya sheria aitwaye Kei Komuro mwenye miaka 25 pia ambaye alikutana naye masomoni.

Japan inasheria kali zinazomtaka mwanafamilia wa kifalme wa kike kuondoka katika familia ya Kifalme baada ya kuolewa na mwanaume kutoka kwenye familia isiyo ya kifalme.
                                                     Kei Komuro mwanaume anayemuoa Princess Mako

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni