Makubaliano ya mamilioni ya dola
baina ya Marekani na Saudi Arabia yatatiwa saini hii leo katika ziara
ya kwanza ya rais wa Donald Trump nje ya Marekani.
Rais Trump na mkewe Melania
wamelakiwa katika Jiji la Riyadh na Mfalme Salman Saudi Arabia leo
asubuhi.
Rais Donald Trump na mkewe Melania wakipokea mashada ya maua baada ya kuwasili Jijini Riyadh
Rais Donald Trump akioongozwa na mwenyeji wake Mfalme Salman wa Saudi Arabia huku wakiongea
Binti wa rais Trump, Ivanka akiwa na mumewe Jared Kushner ambao nao wamemo katika ziara hiyo
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni