Timu ya Bayern Munich ya Ujerumani
ipo katika hatua nzuri ya kunasa saini ya mshambuliaji wa Arsenal
Alexis Sanchez iwapo itashindikana kukubaliana mkataba mpya na timu
yake.
Sanchez inaaminika kuwa yupo tayari
kuhamia kwa wapinzani wa Arsenal katika Ligi Kuu ya Uingereza timu za
Manchester City ama Chelsea, lakini Gunners wanataka ahamie katika
ligi nyingine.
Alexis Sanchez kwa sasa yupo katika majukumu ya kimataifa na timu ya taifa ya Chile
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni