Waendesha mashtaka wanadai Ronaldo,
ambaye inasemekana ni mwanamichezo anayelipwa fedha nyingi duniani,
amekwepa kulipa Euro milioni 14.7 sawa na dola milioni 17.3 tangu
2010.
Nyota huyo wa Real Madrid awali
alishakanusha tuhuma hizo, na kusema kuwa anachoamini ni kuwa
hajawahi kuhusika na kosa lolote la ukwepaji kodi.
Ronaldo, 32, ni miongoni mwa
wachezaji wa mpira wa miguu ambao hivi karibuni wamekuwa
wakifuatiliwa na mamlaka za kodi za Hispania kwa makosa ya kukwepa
kulipa kodi.
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni