Timu ya Manchester City inajiandaa
kumlipa mshambuliaji Alexis Sanchez kitita cha paundi 400,000 kwa
wiki, iwapo ataamua kutua Etihad.
Sakata linalomhusu mchezaji huyo
anayetaka kuondoka Arsenal limechukua sura mpya jana baada ya nyota
huyo kutuma picha kwenye akaunti yake ya Instagram akiwa na majonzi.
Timu ya Arsenal imethibitisha kuwa
Sanchez anatarajiwa kutinga katika kambi ya maandalizi ya msimu pya
kesho, na iwapo hata jitokeza hofu ya kuhama itakuwa.
Alexis Sanchez akiwa kwenye pozi la huzuni akiwa amemkumbatia mbwa wake
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni