Milio ya risasi imeendelea kusikika
katika nyumba ya Naibu Rais wa Kenya William Ruto iliyopo Sugoi,
baada ya saa 18 kupita tangu ivamiwe na watu wasiojulikana.
Hapo jana Polisi wa Kaunti ya Uasin
Gishu wamesema mmoja wa wavamizi aliyengia katika nyumba hiyo
alimjeruhi polisi.
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni