Neymar hajarejea Barcelona jana na
wachezaji wenzake na kunauwezekano akakamilisha uhamisho wa paundi
milioni 196, kwenda Paris Saint-Germain wiki hii.
Hata hivyo kuna mambo bado
hayajafikiwa makubaliano baina ya klabu hizo mbili juu ya namna
uhamisho huo utakaoweka rekodi duniani utakavyofanyika malipo yake.
Barcelona wanataka kulipwa kwa
mkupuo kiasi chote cha paundi milioni 196, ili iweze kumruhusu
kuondoka na kuvunja mkataba wake.
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni