Timu ya Chelsea imekuwa ikijifua mno
kwa maandalizi ya msimu ujao nchini Singapore huku kocha Antonio
Conte akiwapeleka wachezaji hao kujifua gym.
Kocha Conte ameonya kuwa wapinzania
wa Chelsea watakuwa wanawakamia ili waweze kuwavua taji la ubingwa wa
Uingereza.
Mchezaji mpya wa Chelsea Alvaro Morata akifanya mazoezi
Mshambuliaji raia wa Ubelgiji Michy Batshuayi akijifua kwa kuvuta kamba
Mbrazili Willian akijifua kuimarisha misuli ya miguu
David Luiz akionyesha uwezo wake wa mazoezi wakati akijifua gym
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni