Arsenal imempa ofa Alexis Sanchez ya
mkataba mpya utakaomfanya kulipwa mshahara wa paundi 300,000 kwa
wiki.
Mshambuliaji huyo mkataba wake wa
sasa unamalizika mwishoni mwa msimu huu na amegoma kuongeza mkataba.
Arsenal awali ilitoa ofa paundi
225,000, kwa wiki pamoja na bonasi itakayofanya aweze kuongezewa
paundi 275,000 kwa wiki.
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni