Bondia Floyd Mayweather amepata
mapokezi mazuri kutoka kwa mamia ya mashabiki wake katika ukumbi wa
T-Mobile Arena Jijini Las Vegas.
Mpinzani wake Conor McGregor naye
aliwasili akiwa amechelewa baadaye kwenye ukumbi huo na kupishana na
Mayweather.
Hata hivyo McGregor amedai kuwa
mpinzani wake amekuwa makini kumkwepa kukutana naye uso kwa uso siku
chache tu kabla ya pambano lao kubwa duniani.
Bondia Mmarekani Floyd Mayweather akiwa amepozi kwa picha na mamodo
Bondia raia wa Ireland Conor McGregor akipungia mkono mashabiki
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni