.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 2 Agosti 2017

LIVERPOOL YAIFUNGA BAYERN MUNICH, STURRIDDGE AKIUMIA

Mchezaji Daniel Sturriddge ametoka dimbani kwa maumivu ya paja baada ya kufunga goli wakati Liverpool ikiifunga Bayern Munich kwa magoli 3-0 katika kombe la Audi.

Mshambuliaji huyo wa Uingereza alifunga goli dakika 15 baada ya kutokea benchi kwa kufunga goli la tatu la Liverpool, na kisha kutolewa nje kwa kuumia.

Magoli mengine ya Liverpool yalifungwa na Msenegali Sadio Mane na Mohamed Salah na kuifanya itinge fainali dhidi ya Atletico Madrid jumatano.
                                         Mshambuliaji wa Liverpool Sadio Mane akifunga goli
         Mshambuliaji mpya wa Liverpool Mohamed Salah akifunga goli kwa mpira wa kichwa
                      Daniel Sturriddge akigugumia kwa maumivu baada ya kuumia paja

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni