.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 9 Agosti 2017

MAKAMU WA RAIS MHE.SAMIA AFUNGA MAONESHO YA NANE NANE MKOANI LINDI

10
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akihutubia kwenye kilele cha sherehe ya maadhimisho ya 24 ya sikukuu ya Wakulima (Nane Nane) mkoani Lindi.
2
                                                                   Sehemu ya wananchi waliohudhuria.5
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiangalia mkaa ulotengenezwa kutokana na makaratasi yaliotumika wakati alipotembelea banda la Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea wakati wa kilele cha sherehe ya maadhimisho ya 24 ya sikukuu ya Wakulima (Nane Nane) mkoani Lindi
6
Waziri wa Kilimo Mifugo na Uvuvi Mhandisi Charles Tizeba akimuonesha Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan ubanguaji wa korosho wakati wa kilele cha sherehe ya maadhimisho ya 24 ya sikukuu ya Wakulima (Nane Nane) mkoani Lindi
7
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akipata maelezo juu ya magonjwa na wadudu wanaoshambulia mikorosho na namna ya kutibu mimea kutoka kwa Mtafiti kiongozi wa Zao la Korosho wa Taasisi ya utafiti wa Kilimo Nahendele Bw.Fortunus Kapinga wakati wa kilele cha sherehe ya maadhimisho ya 24 ya sikukuu ya Wakulima (Nane Nane) mkoani Lindi
8
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan (kushoto) akiwa pamoja na Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Mhe. Halima Ndendegu na Mkwe wa Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne Mama Salma Kikwete (MB) wakiangalia ufugaji wa samaki wa kwenye matenki unaofanywa na Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) wakati wa kilele cha sherehe ya maadhimisho ya 24 ya sikukuu ya Wakulima (Nane Nane) mkoani Lind
9
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiangalia karoti wakati alipotembelea na kujionea shughuli za kilimo cha mboga mboga zinazofanywa na Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) wakati wa kilele cha sherehe ya maadhimisho ya 24 ya sikukuu ya Wakulima (Nane Nane) mkoani Lindi

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni