Nyota wa Brazili Neymar hatoenda
Doha kufanyiwa vipimo kabla ya kukamilisha uhamisho wa paundi milioni
196m akitokea Barcelona na kutua Paris Saint-Germain, lakini badala
yake ataenda Ufaransa jumanne.
Gazeti la Le Parisien limeripoti
kuwa kila mtu anaona kuwa Neymar atatua Ufaransa akitokea China
ambapo yupo kwa ajili ya kufanya kazi ya promotion, badala ya kwenda
Qatar ambapo mmiliki wa PSG amewekeza kisoka.
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni