.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 8 Agosti 2017

RAIS MHE.DKT. MAGUFULI AREJEA JIJINI DAR ES SALAAM NA KUHUTUBIA WANANCHI WA BUNJU B

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na wananchi wa Bunju wakati akirejea jijini Dar es Salaam mara baada ya kumaliza ziara yake ya siku tano katika mkoani Tanga. 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na wananchi wa Bunju wakati akirejea jijini Dar es Salaam mara baada ya kumaliza ziara yake ya siku tano katika mkoani Tanga.
Mamia ya wananchi wa Bunju wakiwa wamekusanyika kumsikiliza Rais Dk. John Pombe Magufuli wakati alipokuwa akizungumza nao akirejea jijini Dar es Salaam mara baada ya kumaliza ziara yake ya siku tano katika mkoani Tanga.
Mamia ya wananchi wa Bunju wakiwa wamekusanyika kumsikiliza Rais Dk. John Pombe Magufuli wakati alipokuwa akizungumza nao akirejea jijini Dar es Salaam mara baada ya kumaliza ziara yake ya siku tano katika mkoani Tanga.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni