.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 23 Agosti 2017

SERIKALI YAANZA RASMI UTOAJI WA LESENI ZA MAGAZETI NA MAJARIDA

PIX1b
Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Habari (MAELEZO) na Msemaji Mkuu wa Serikali Dkt. Hassan Abbasi (katikati) akifafanua jambo kwa Waandishi wa Habari (hawapo pichani) kuhusu kuanza kwa utoaji wa leseni kwa magazeti na majarida, kushoto ni Mkurugenzi Msaidizi Kitengo cha Usajili Bw. Patrick Kipangula na kulia ni Mkurugenzi Msaidizi wa Huduma za Habari na Picha Bw. Rodney Thadeus.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni