Wananchi wa Rwanda wamejitokeza leo
kupiga kura kumchagua rais katika uchaguzi mkuu ambao rais ambao
jumla ya wapigakura milioni 6.8 wanatarajiwa kushiriki kipiga kura.
Vituo vipatavyo 2,340 vimeweka nchi
nzima katika zoezi la upigaji kura vimefunguliwa tangu saa moja
asubuhi na vitafungwa saa tisa mchana.
Wagombea urais wanaogombea ni rais
Paul Kagame wa RPF-Inkotanyi, Frank Habineza, wa Democratic Green
Party of Rwanda na mgombea binafsi Philippe Mpayimana.
Rais Paul Kagame anatarajiwa kuibuka
na ushindi mkubwa katika uchaguzi huo utakaomuwezesha kuiongoza
tena Rwanda kwa muhula wa tatu.
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni