.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 19 Septemba 2017

GAMBO ATIMIZA AHADI ZAKE KWA WANA ARUMERU

RC Gambo akikabidhi mifuko ya saruji kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Arusha Ndg Charles Mahera (katikati) aliyeambatana na Katibu Tawala wa wilaya ya Arumeru Ndg. Timoth Mzava
Lori lililosheheni mifuko 700 ya saruji tayari kuelekea makao makuu ya Halmashauri yaArusha
 RC Gambo akikabidhi mabati kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Arusha


Nondo tani mbili zikiwa tayari kukabidhiwa kwa wananchi wa wilaya ya Arumeru

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni