RC Gambo akikabidhi mifuko ya saruji kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Arusha Ndg Charles Mahera (katikati) aliyeambatana na Katibu Tawala wa wilaya ya Arumeru Ndg. Timoth Mzava
Lori lililosheheni mifuko 700 ya saruji tayari kuelekea makao makuu ya Halmashauri yaArusha
RC Gambo akikabidhi mabati kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Arusha
Nondo tani mbili zikiwa tayari kukabidhiwa kwa wananchi wa wilaya ya Arumeru
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni