.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 19 Septemba 2017

NAIBU WAZIRI ATEMBELEA TFF, SERENGETI BOYS

Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe. Anastazia Wambura jana Jumatatu Septemba 18, 2017 ametembelea Ofisi za Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) zilizoko Uwanja wa Kumbukumbu ya Karume, Ilala jijini Dar es Salaam.
 

Kwa taarifa zaidi, fuata link hapo chini

http://tff.or.tz/news/699-naibu-waziri-atembelea-tff-serengeti-boys
 

TANZANITE YAREJEA KUJIPANGA DAR
 

Timu ya Taifa ya wasichana wenye umri wa chini ya miaka 20 (Tanzanite), imewasili salama nchini ikitokea Nigeria ambako ilicheza mechi ya awali dhidi ya wenyeji Nigeria katika mchezo wa kuwania kucheza Fainali za Kombe la Dunia 2018 huko Ufaransa.
 

Kwa taarifa zaidi, fuata link hapo chini

http://tff.or.tz/news/698-tanzanite-yarejea-kujipanga-dar
 

LIGI DARAJA LA PILI KUANZA SEPTEMBA 30, 2017
 

Ligi Daraja la Pili Tanzania Bara (SDL), inatarajiwa kuanza Septemba 30, mwaka huu kwa timu kuchuana katika viwanja vitano tofauti.
 

Kwa taarifa zaidi, fuata link hapo chini
 

http://tff.or.tz/news/697-ligi-daraja-la-pili-kuanza-septemba-30-2017

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni