Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe. Anastazia Wambura jana Jumatatu Septemba 18, 2017 ametembelea Ofisi za Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) zilizoko Uwanja wa Kumbukumbu ya Karume, Ilala jijini Dar es Salaam.
Kwa taarifa zaidi, fuata link hapo chini
http://tff.or.tz/news/699-naibu-waziri-atembelea-tff-serengeti-boys
TANZANITE YAREJEA KUJIPANGA DAR
Timu ya Taifa ya wasichana wenye umri wa chini ya miaka 20 (Tanzanite), imewasili salama nchini ikitokea Nigeria ambako ilicheza mechi ya awali dhidi ya wenyeji Nigeria katika mchezo wa kuwania kucheza Fainali za Kombe la Dunia 2018 huko Ufaransa.
Kwa taarifa zaidi, fuata link hapo chini
http://tff.or.tz/news/698-tanzanite-yarejea-kujipanga-dar
LIGI DARAJA LA PILI KUANZA SEPTEMBA 30, 2017
Ligi Daraja la Pili Tanzania Bara (SDL), inatarajiwa kuanza Septemba 30, mwaka huu kwa timu kuchuana katika viwanja vitano tofauti.
Kwa taarifa zaidi, fuata link hapo chini
http://tff.or.tz/news/697-ligi-daraja-la-pili-kuanza-septemba-30-2017
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni