.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumamosi, 25 Novemba 2017

WAZIRI MKUU AKIWA KATIKA ZIARA YA KIKAZI .NAMTUMBO,TUNDURU MKOANI RUVUMA

Wananchi wa Wilaya ya Namtumbo wakimsikiliza kwa makini Waziri Mkuu. Kassim Majaliwa akihutubia Mkutano wa hadhara katika Uwanja wa michezo wa Rwinga uliopo Wilaya ya Namtumbo Mkoa wa Ruvuvuma jana Novemba 23/2017. PICHA NA OFISI YA WAZIRI MKUU
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ampa mwezi mmoja afisa Aridhi wa Wawilaya ya Namtumbo Bwana Maurus Year kuhakikisha ametatua tatizo la Ardhi lilio dumu miaka kumi katika Wilaya ya Namtumbo.Waziri Mkuu ametoa agizo hilo jana Novemba 23/2017 katika mkutano wa hadhara Wilayani Namtumbo Mkoa wa Ruvuma. PICHA NA OFISI YA WAZIRI MKUU
Waziri Mkuu. Kassim Majaliwa akiongea na Wananchi wa kijiji cha Chomolo Wilaya ya Namtumbo wakati walipo simamisha msafara wake leo Novemba 24/2017 wakati alipo kuwa akielekea katika ziara ya kikazi katika wilaya ya Tunduru Mkoani Ruvuma. PICHA NA OFISI YA WAZIRI MKUU

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni