.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Alhamisi, 16 Februari 2017

FLOYD MAYWEATHER NA MARIAH CAREY WASHUHUDIA CLIPPERS IKIIFUNGA HAWKS

Bondia Floyd Mayweather ameweka kando vita yake ya maneno na nyota wa UFC Conor McGregor na kwenda kuuangalia mchezo wa kikapu wa Los Angeles Clippers na Atlanta Hawks akiwa na mwanamuziki Mariah Carey.

Wakati hatma ya nyota huyo wa ngumi aliyestaafu kurejea tena ulingoni ikiwa bado haijulika, jana alienda kushuhudia mchezo huo wa Ligi ya NBA, kushuhudia Clippers ikiifunga Hawks pointi 99-84 Jijini Los Angeles.
             Mariah Carey akiongea huku akiwa amenyanyua mkono akiwa na Floyd Mayweather
          Bondia Floyd Mayweather akiongea na mchezaji wa Atlanta Hawks, Dwight Howard

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni