.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 21 Machi 2018

WAZIRI MKUU AMUWAKLISHA RAIS JOHN MAGUFULI KATIKA MKUTANO WA AU RWANDA

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kwa niaba ya Rais John Pombe Magufuli leo March/21/2018 amesaini mkataba wa Makubaliano ya kulifanya Bara la Afrika Kuwa eneo huru la Biashara . Utiaji saini huo umefanyika Jijini Kigali Rwanda. PICHA NA OFISI YA WAZIRI MKUU

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni